• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WALIMU acheni mikopo kausha damu

Posted on: May 19th, 2024

WALIMU Halmashauri ya Madaba wameaswa kuepuka mikopo  kausha damu badala yake waheshimu mshahara ambao wanaupata mwisho wa mwezi.

Hayo amesema Mhe.Diwani wa Kata ya Matumbi Valentino Mtemauti akimwakilisha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa katika kikao cha tathimini ya matokeo ya mitihani ya Kitaifa kwa shule za msingi mwaka 2023 iliyoambatana na sherehe ya kuwapongeza walimu hao kwa kuwapa zawadi mbalimbali na wanafunzi waliofanya vizuri.

“kopa mkopo kwa malengo siyo unakopa bila malengo mwisho wake unawekwa mahabusu mshahara wako unaopata si haba uheshimu”.

Aidha  Mtemauti amewapongeza walimu kwa jitihada walizofanya na kuhakikisha Halmashauri ya Madaba inakuwa yakwanza kimkoa kwa matokeo ya darasa la saba na darasa la nne mwaka 2023.

Mtemauti amempongeza Mbunge wa Jimbo la Madaba,Mwenyekiti wa Halmashauri ,Mkurugenzi mtendaji  kwa kuwa chachu ya kusababisha matokeo mazuri katika Halmashauri ya Madaba.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei 17,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa