• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Chilumba:Waheshimiwa Madiwani na wakuu wa Idara tuendelee kutoa elimu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Posted on: November 21st, 2024

Afisa  Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma Amandus Chilumba ametoa rai kwa Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara kuendelea kuta elimu na kuwasisistiza kujitokeza siku ya uchaguzi Novemba 27,2024.

Hayo amesema katika mkutano wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba ikiwa katika zoezi la uandikishaji halmashauri ya Wilaya ya Madaba ilifanya  kwa asilimia 105.0.

“Mheshimiwa Mwenyekiti kipindi cha kuandikisha Madaba tulifanya kwa asilimia 105.0 na katika kipindi cha kupiga kura tukirudi nyuma  kazi yetu itakuwa  haijakamilika kwa  asilimia miamoja.

Hata hivyo amesema  kupitia Baraza hilo tukufu amewaomba Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara kuendelea kutoa elimu ili siku ya uchaguzi  Novemba 27,2024 wananchi wajitokeze kwa Wingi kuchagua viongozi walio bora ambao wataweza kuongoza.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 20,2024

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa