• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Benki ya NMB yatoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 49 Madaba

Posted on: November 19th, 2024

Benki ya NMB imetoa vifaa vyenye thahamani ya zaidi ya shilingi Milioni 49 katika seka ya afya na Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akitoa taarifa hiyo Meneja wa Benki ya NMB kanda ya kusini Lipa Abel kuwa vifaa hivyo vimetolewa ni vitanda 50,magodora 50 katika hospitali ya Wilaya ya Madaba na madawati 50  na viti 50 katika shule ya Sekondari Matetereka.

“Tunashukuru kwa kuwa NMB ni mahali sahihi pakukimbilia inaonyesha jinsi uthamini wa mchango wetu kwenu kama benki katika kuchangia maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya hii ya Madaba”.

Hata hivyo amesema vifaa vilivyokabidhiwa leo nimoja ya ushiriki katika maendeleo  ya jamii na NMB ni benki inayoongoza Tanzania ikiwa wanao wajibu wa kuhakikisha jamii  inafaidika katika faida inayopata katika benki ya NMB.

Amesema kwa miaka mingi Benki ya NMB imekuwa ikichangia maendeleo katika miradi ya elimu kwa utoaji wa madawati na vifaa vya kuezekea na katika sekta ya afya inachangia vitanda na magodoro na vifaa vya matibabu pamoja na kusaidia majanga yanayotokea Nchini.

 “Mgeni rasmi benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele katika kuchangia jamii kwa lengo la kurejesha faida yetu ikiwa ni zaidi ya miaka saba mfululizo tumetenga asilimia moja kwa kuchangia maendeleo ya jamii.

“Benki ya NMB inaongoza nchini ikiwa na matawi zaidi ya 231,mashine za ATM 780 Nchi nzima mawakala zaidi ya 20,000 na tumeanzisha huduma vijijini na kusaidia wananchi wanaweza kupata huduma za benki bila kufika mjini.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano halmashauri ya Madaba

Novemba 18,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA MKOANI YATUA MADABA KWA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa