• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

BARAZA Maalum la Madiwani Madaba laridhia kutoa eneo la Maliasili Mahenge kwa TFS

Posted on: June 8th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya mkutano maalum wa baraza la Madiwani na kuridhia kutoa eneo la Maliasili Mahenge kwa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS).

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed akisoma taarifa amesema wajumbe kamati ya fedha waliagiza kamaya wataalam (CMT) ikae na kupendekeza  mradi mmoja wenye tija ya kuongeza mapato ya Halmashauri na kuwasilisha kwa Wakala wa Misitu.

Aidha amesema kamati ya wataalam walipendekeza na kuandaa andiko la mradi wa Soko la Mbao lenye thamani ya shilingi Milioni 253,500,000 kwa awamu mbili.

Amesema fedha hizo zitatolewa awamu ya kwanza milioni 87 ujenzi wa miundombinu  na awamu ya pili Milioni 16,500,000 ujenzi wa uzio na 150 ununuzi na kufunga mzani.

“ Utekelezaji wa mradi huo wa soko la mbao utarahisisha ukusanyaji wa maduhuli,upatikanaji wa taarifa ya soko,ubora wa mbao kwa wanunuzi,urahisi wa upatikanaji wa takwimu za biashara ya mazao ya misitu,ajira mbalimbali kwa vijana”.

Kwa upande wake Meneja wa TFS Songea Issa Haruna Mlela amelishukuru baraza hilo kwa kuridhia ombi la kupatiwa eneo  la maliasili Mahenge.

“Tunawashukuru sana kwa kuridhia ombi letu tunawaahidi tutakuwa  na mahusiano mazuri na tutaendelea kuboresha na tutafanya kazi kama timu”.

Kutoka Kitengo cha Mawsailiano Halmashauri ya Madaba

Juni 7,2024.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa