• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

AFISA Mazingira Madaba atoa elimu ya matumizi ya nishati mbadala

Posted on: June 28th, 2024

AFISA Mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Grolia Mrisho ametoa elimu ya matumizi ya Nishati mbadala katika maadhimisho ya siku ya wajane.

Akitoa elimu hiyo amesema katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba nishati inayotumika kwa asilimia kubwa ni kuni na mkaa hali ambayo inasababisha uharibifu wa mazingira.

“Hali ya tabia ya nchi imebadiliaka sana vipindi vya mvua vinakuwa vifupi,halafu mvua zinanyesha kubwa kwa wakati mmoja na kiangazi kwa mdara mrefu na kuathiri mazingira”.

Mrisho amesema moja ya sababu ya kuathirika kwa  mazingira ni matumizi ya nishati ya mkaa na ukataji wa miti hovyo unapelekea  kuchangia ongezeko la uharibifu wa mazingira na kusababisha mafuriko na  mmomonyoko wa ardhi.

“Serikali ikaona kunahaja ya wananchi wake kutumia njia mbadala ya nishati ambayo itapunguza athari za mazingira”.

Amesema nishati ambadala ambayo haikaushi dunia na haichafui mazingira ni jua, mimea iliyokufa,kinyesi cha wanyama,upepo,umeme na gesi.

“kupitia elimu hii naomba tukawaambie na akina mama wengine wazijue nishati mbadala  ambazo haziharibu mazingira yetu”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Juni 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA MKOANI YATUA MADABA KWA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa