• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

AFISA kutoka ofisi ya Maadili alivyoeleza faidi ya Kiongozi na Mtumishi Mwadilifu

Posted on: January 31st, 2024

AFISA wa Ofisi ya Maadili Kanda ya Kusini Samweli Omary ametoa Semina ya Maadili katika Baraza la Madiwani Halmashauri ya Madaba lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkurugenzi.

Akizungumza katika Baraza hilo ameeleza faida ya Kiongozi na Mtumishi wa Umma kuwa mwadilifu katika utumishi ni pamoja na kulinda heshima na haiba kwa kiongozi au mtumishi.

Amesema uadilifu huleta umoja na mshikamano kwa kuleta mahusiano mazuri,utendaji bora  pamoja na utoaji wa huduma bora na kupunguza malalamiko yasiyo ya lazima kutoka kwa wale unaowahudumia.

“Uadilifu kama viongozi na watumishi wa Umma unawawezesha kuwa na matumizi sahihi na mazuri ya rasilimali za Umma huwezi kuwa na kashifa za ufisadi,ubadhilifu wa fedha za Umma”.

Hata hivyo amesema uandilifu husaidia kulinda hadhi ya Taasisi na Serikali,inasaidia kuepuka migogoro mahali pa kazi na sehemu nyingine pamoja na kutenda haki na kudumisha usawa.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba 

Januari 31,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa