• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

AFISA Elimu Mkoa wa Ruvuma atoa rai kwa Walimu wakuu kutatua changamoto shuleni

Posted on: January 26th, 2023

AFISA Elimu Mkoa wa Ruvuma Maria Makala ametoa rai kwa Walimu wakuu na Maafisa Elimu Kata kufanyia kazi mapungufu katika swala nzima la ufundishaji.

Hayo amesema katika kikao kazi cha wadau wa Elimu Jifunze uelewe kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Madaba amesema mwalimu yeyote kama anamapungufu aelekezwe.

“Kimsingi tunanafasi kubwa ya kwenda kuwaelekeza wale walimu ambao tunaona hawapo vizuri katika ufundishaji tumeona mapengo yalipo kila mnapofanya upimaji bahati nzuri matokeo mmeyaona”.

Makala amewaomba walimu wakuu na Maafisa Elimu Kata kwenda kukaa na walimu wao kutatua changamoto zilizopo katika Shule zao kufuatia Mkoa wa Ruvuma kupitia matokeo ya mwaka 2022 kuwa wamwisho Kitaifa.

Hata hivyo amesema miongozo imetolewa na mafunzo mengi  kwa walimu hivyo ameomba ufaulu upande siyo kushuka kwasababu Serikali imetambua umuhimu wa kuwa na malengo ya kuboresha ili walimu wafanye kazi katika mazingira yanayoridhisha.

“ Tunaomba walimu kuu muwe karibu na walimu wenu wakati mwingine hata kwa kuongea nao pengine wanamatatizo ya kisaikolojia hata maswala ya kawaida kama anachangamoto msaidie ili wawe na moyo wa kufanya kazi kwa bidii”.

Makala amewaasa walimu kutumia Vishikwambi kwa matumizi sahihi ya kujifunzia na kufundishia kama Serikali ilivyoelekeza na vifaa vilivyotolewa kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Januari 26,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa