• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA washika nafasi ya 4 Kitaifa kwa miaka miwili Mfululizo kwa kutenga fedha za afua za lishe kutoka 1,000/= hadi 4,000/= kwa kila mtoto

Posted on: October 26th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba  Kitaifa imeshika nafasi ya 4 katika zoezi la afua za Lishe kwa kutenga fedha kwa kila mtoto kwa shilingi elfu nne kwa miaka miwili mfululizo.

Hayo amesema Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile katika Kikao cha Liche cha robo ya kwanza 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi  na kuhudhuliwa na wajumbe mbalimbali.

“Kitaifa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imefanya vizuri kwa usimamizi wa Fedha na kufikia kutoa  kwa kila mtoto shilingi elfu 4,000/= hii ni hatua muhimu sana kama alivyoagiza Mh. Rais Samia”

Ndile amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed kwa  kuzingatia na kuvuka malengo ya Serikali  ambapo imeagiza kila mtoto atengewe  kiasi cha shilingi 1,000/=  na kufikia shilingi 4,000/=.

Ndile amewaagiza watendaji Kata kuhamasisha wananchi kufanya mazoezi ya viungo ili kuimarisha Afya zao na kuepukana na Magonjwa na uzito uliokithiri.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Oktoba 25,2023.                                                                        

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa