• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ELIMU ya Ukatili wa Kijinsia inavyoendelea kutolewa Madaba

Posted on: December 3rd, 2022

MKUU wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Madaba Anitha Makota pamoja na Afisa Ustawi wa Jamii Shani Kambuga wametoa Elimu ya ukatili wa Kijinsia kwa Wanawake,Wanaume pamoja na watoto Jijiji cha Magingo Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba

Kufuatia kampeni ya siku 16  ya kupinga ukatili wa Kijinsia Tanzania Nzima amewaasa wananchi hao kutofumbia macho mambo yakikatili ambayo husababisha madhara ya kifamilia na kudhorotesha Taifa.

Makota ametoa rai kwa wananchi hao kuhakikisha wanapokutana na Changamoto yoyote ya unyanyasaji huo wasifumbie macho bali watoe taarifa katika sehemu husika ikiwemo ofisi ya kijiji,ofisi ya Ustawi wa jamii pamoja na ofisi ya serikali za Mitaa.

‘’Kwasababu mda mwingine kuna mambo yanatokea lakini hatupati taarifa hakikisheni mnatoa taarifa ili kuhakikisha tunachukua hatua”.

Afisa ustawi wa Jamii Shani Kambuga ameelezea maana ya ukatili wa kijinsi  ni kitendo  anachofanyiwa mwanaume,mwanamke au mtoto na kupelekea kuathilika kisaikolojia.

Kambuga amesema ukatili wa kimwili ni kitendo cha mama kupigwa au mwanaume kukatwa kwa ncha kali, au kutukanwa kwa kuitwa majina ya wanyama.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Desemba 3,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa