• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAIDI ya Shilingi Milioni 269 zatolewa na Serikali ujenzi wa Mabweni Madaba

Posted on: September 13th, 2023

SERIKALI imeleta fedha kiasi cha shilingi  Milioni 141 kwaajili ya ujenzi wa Bweni katika Shule ya Sekondari Ifinga.

Hayo amesema Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kata yaLituta na Mahanje wakati wa uzinduzi wa Soko la Kisasa linalojengwa kupitia mradi wa TASAF.

“ Serikali inafikilia kujenga miundo mbinu Mbunge wenu amepambana ndiomana miundombinu inaboreshwa,na tumeletewa fedha Milioni 141 kwaajili ya ujezi wa Bweni Ifinga”.

Ndile amesema ujenzi wa Bweni katika Shule ya Sekondari Ifinga litasaidia wanafunzi kutoka shule mbalimbali za Halmashauri hiyo kwenda kusoma Ifinga na wanafunzi wa Ifinga kubadilisha mazingira kusoma maeneo mengine.

“Shule ya Sekondari Ifinga inajumla ya wanafunzi 73 ikiwa wanafunzi hao wanamaliza shule ya Msingi na kujiunga na Shule ya Sekondari katika kijiji hicho”.

Hata hivyo kwa upande wake Afisa Elimu Maalumu Tedy Sanga amesema Serikali imeleta fedha kiasi cha shilingi Milioni 128 kwaajili ya ujenzi wa Bweni katika Shule ya Msingi Madaba kwaajili ya wanafunzi maalumu.

Sanga amesema  bweni hilo litasaidia  wanafunzi maalumu  kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri  kuishi na kusoma katika mazingira rafiki.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 13,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa