• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAIDI ya shilingi Milioni 114 ya jenga Nyumba ya Mwalimu Wino Sekondari

Posted on: May 23rd, 2023

SERIKALI imeleta shilingi Milioni 114 kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya Mwalimu katika Shule ya Sekondari Wino Halmashauri ya Madaba.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed  ametembelea na kukagua mradi huo uliofikia hatua ya ukamilishaji amewapongeza walimu kwa usimamiaji mzuri wa ujenzi huo ambao utasaidia kuwa na makazi bora kwa Walimu wa Shule hiyo.

Hata hivyo Mohamed amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Sulluhu Hassan kwa kuleta fedha kwaajili ya ujenzi wa Nyumba za Walimu ambazo zitaleta Hamasa kwa Walimu.

“Nimshukuru Rais Samia kwa kutuletea fedha kwaajili ya ujenzi wa Nyumba za Walimu na Miradi mingine,pia niwapongeze walimu kwa usimamzi mzuri wa Nyumba hii “.

Kwa upande wake Mwalimu wa Shule ya Sekondari  Wino Hassan Hussen amemshukuru Rais wa Awamu ya Sita kwa kuwapekea hela ya ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu.

“Tunamshukuru kupitia ujenzi huu hata akija Mwalimu kutoka Massaki atajiona kama yupo Mjini kupitia ujenzi wa Nyumba hii Nzuri,na ukikaa katika nyumba hii lazima Mwalimu atajituma sana katika ufundishaji”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Mei 23,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa