• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAHANATI ya Mahanje yaanza kutoa huduma

Posted on: November 23rd, 2023

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Songea Thomas Masolwa amekuwa wa Kwanza kupata huduma katika  Zahanati ya Mahanje iliyoanza kutoa huduma  Novemba 22,2023 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akizungumza mara baada ya kukagua Zahanati hiyo na huduma mbalimbali zinazotolewa katika Zahanati hiyo amempongeza Rais Samia kwa kutoa fedha Milioni 100 kwa awamu mbili kwaajili ya ujenzi wa Zahanati hiyo

“Rais Samia amewaona ameleta fedha Zahanati  imekamilika  na amewapunguzia wananchi kutembea umbali mrefu wa kwenda kutafuta huduma ya Afya”.

Hata hivyo Mwenyekiti ametoa rai kwa wananchi wa Kata ya Mahanje kuwapokea waganga wa 3 walioletwa na Serikali  na kuwalea kama walivyokuwa mikononi mwa wazazi wao.

“Kwa niaba ya wazee wengine naomba muwapokee hao ni watoto wenu shida zao ziwe zenu wazazi wao wamewatunza vizuri leo wamekuja kuwahudumia ninyi usiku na mchana hivyo muwaone kama watoto wenu”.

Hata hivyo Mwenyekiti katika zoezi hilo amegawa vyandarua vya  kuzuia maralia kwa wazee na wajawazito ikiwa huduma hiyo itaendelea kutolewa katika Zahanati hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema Zahanati hiyo ilianza kujengwa kwa nguzu za wananchi kwa kutoa shilingi Milioni 10,Halmashauri ilitoa shilingi Milioni 19 ya mapato ya ndani na Serikali imetoa Milioni 100 kwa awamu mbili.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Novemba 22,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa