• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WINO SACCOS wapitisha bajeti ya shilingi Milioni 179 mwaka 2024

Posted on: November 1st, 2023

WINO  SACCOS wamefanya Mkutano mkuu na kupitisha bajeti ya mwaka wa Fedha 2023/2024 ya shilingi Milioni 191 na matumizi ya shilingi Milioni 181 na ziada ya milioni 10 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akizungumza katika mkutano huo Mhasibu wa Wino SACCOS Agustino Wella amesema mwaka 2022 walipitisha  bajeti  ya mapato na matumizi shilingi Milioni 179 na   matumizi ya shilingi  Milioni 170 na mpaka kufikia sasa wametumia shilingi Milioni 124.

Hata hivyo Wella amesema WINO SACCOS imeanzishwa mwaka 1992 na leo umefanyika mkutano mkuu  wa 30 na  wamefanya  uchaguzi wa viongozi watakao ongoza chama kwa mda wa miaka mitatu wakiwemo wajumbe wa bodi,kamati ya usimamizi mjumbe mwakilishi.

Kwa upande wake Afisa ushirika  wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sadam fupi mara baada ya kusimamaia zoezi la uchaguzi wa viongozi wa chama hicho amesema viongozi wa Wino SACCOS waliochaguliwa wakasimie chama hicho kwa uadilifu.

“Tunategemea tukikaa kikao cha mwaka 2024 tukute mtaji wa chama umeongezeka mmekuta mtaji wa zaidi ya shilingi bilioni 1”.

Afisa Ushirika ametoa rai kwa viongozi waliochaguliwa kuhakikisha wanakuwa waaminifu ikiwa wanancha wamewachagua kwa kuwaamini na kuhakikisha mwaka 2024 mtaji wa chama unaongezeka,wakopaji wanaongezeka,wadaiwa sugu wamepungua na mstakabali wa chama ukiendelea mbele.

“Endapo mipango itaenda tofauti hatutasita kuwa chukulia hatua ikiwa wanachama wamewaamini na wamewachagu wameona mnafaa kusimamia watendaji wa wino SACCOS”.

Hata hivyoFupi amewapongeza Viongozi hao na kutoa rai  wakatekeleze na kusimamia chama kanuni,sera za chama hicho kwa kuweka hisa,akiba na kulipa mikopo kwa wakati.

Kutoka kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

OKtoba 31,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa