• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WATUMISHI Madaba watumia Elfu 4,000/= kwa siku kilomita 7 kufika Ofisini Madaba

Posted on: November 16th, 2023

WATUMISHI Halmashauri ya  Wilaya ya Madaba wanaoishi kilomita 7 kutoka makazi yalipo hadi Ofisi ya Halmashauri   kutozwa kiasi cha shilingi  4,000/= kwa siku.

Watumishi hao wameiomba Serikali kuingilia kati swala hilo la nauli za  Bajaji na Bodaboda mbele ya Mbunge Viti maalumu anayewakilisha Watumishi Tanzania Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora Alice Kaijage alipo zungumza na Watumishi hao katika ukumbi wa ofisi ya Mkurugenzi.

Kaijage aliposikiliza kero hiyo ametoa rai kwa viongozi wa LATRA kushughulikia jambo hilo ambalo linapelekea watumishi hao kutoa kiasi kikubwa cha nauli kwa siku ambacho siyo halali kulingana na umbali wa eneo hilo.

Kwa upande wake Katibu wa chama cha wafanyakazi Mashambani na Kilimo Tanzania Ahimidiwe Pallanngyo amesema viongo wa LATRA wahakikishe wanalifanyia kazi swala hilo ikiwa Bodaboda na Bajaji wanajipangia nauli wenyewe wanavyoweza.

“Mimi nimepigwa sana nikija Madaba nikifika Songea nitaenda Ofisi za LATRA nitawaambia ili haki itendeke”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 16,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa