• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WATUMISHI Madaba wapewa mafunzo ya kodi ya zuio iliyoboreshwa

Posted on: February 21st, 2024

 WATUMISHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mkoa wa Ruvuma wamepewa mafunzo ya kodi ya zuio katika mfumo ulioboreshwa wa mamlaka.

Mafunzo hayo yametolewa na Mhasibu wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Ruvuma Amimo Ndaro amesema mafunzo hayo yamelenga  makusanyo yanayofanywa na watumishi waliopo katika Halmashauri kuto wasilisha kwa Kamishna wa kodi za ndani pamoja na kuto jua na kupata oda fomu (Conrol number) ili waweze kuwasilisha katika kodi za ndani

“Tukaona tupite kwenye Halmashauri na kuelimisha watumishi wapo wanaojua wengine hawajui wengine wafanyakazi wapya wanafanya kazi zinazohusiana na uhasibu wapo waliokumbushwa na wengine wamepata elimu kwa mara ya kwanza”

Hatahivyo ndaro amesema kupitia mafunzo hayo kumekuwa na mwitikio ikiwa baadhi ya washiriki ni mara yao ya kwanza wamejifunza na kupata pakuanzia na baada ya mafunzo haya kodi iliyo nyingi itawasilishwa kwa kamishna wa kodi za ndani.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Februari,20,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa