• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WASIMAMIZI Wakuu na Wasaidizi wa Uchaguzi Madaba waanza mafunzo yao ya siku 2

Posted on: September 16th, 2023

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amefungua mafunzo  ya siku mbili kwa  Wasimamizi wakuu na wasaidizi  ya uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya Mtyangimbole.

Akizungumza na wasimamizi hao amesema jumla ya Wasimamizi 62 wakiwemo 20 Wasimamaizi wakuu na wasaidizi 40  2wawili ni wa akiba wanaofanyiwa mafunzo ya uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Mtyangimbole .

Amesema Mafunzo hayo ya siku Mbili kwa wasimamizi wa Uchaguzi yanalenga kutoa maelekezo namna Wasimamizi wakuu na wasaidizi wanavyotakiwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria,taratibu na kanuni za uchaguzi sura namba 343.

“Mmeteuliwa kufanya hii kazi kwa kuzingatia weledi na uaminifu hivyo sitegemei miongoni mwenu kwenda kinyume na maelekezo mtakayopewa”.

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Madaba amesema kuwa wasimamizi hao wamekula kiapo cha kutunza siri na kujitoa uanachama  wa chama cha siasa na kuzingatia taratibu na kanuni ,taratibu za uchaguzi.

“Narajia kwa mda wote wa mafunzo mtakuwa makini wasikivu katika kuhakikisha mnaelewa maelekezo mnayopewa na wasimamizi wasaidizi wa Jimbo ili mkatekeleze vema majukumu yenu”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 16,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa