• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

"WANAUME wapelekeni wakezenu kliniki".

Posted on: May 9th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amewataka wanaume kuwapeleka wake zao kuhudhulia kliniki wanapokuwa wajawazito pamoja na kuhakikisha wanakula vizuri.

Hayo ameyasema katika Kikao cha tathimini ya utekelezaji wa  afua za Lishe kwa kipindi cha robo ya tatu Januari hadi Machi 2023.

Ndile amesema akinamama wajawazito wamekuwa na mwitikio mdogo kwaajili ya Semina juu ya Lishe hivyo kusababisha kati ya watoto 10 wanaozaliwa 3 kuzaliwa na uzito mdogo.

 Mkuu wa Wilya amesema wamama wajawazito wapewe Elimu ya Lishe bora ili watoto wazaliwe na uzito mzuri ikiwa akina baba kufuatilia Afya zao kwa ukaribu.

Hata hivyo Ndile amemwagiza Afisa Elimu Msingi kuwaandikia walimu wa Shule za Msingi kuhakikisha wanasimia watoto wote kula shuleni.

“Nasisitiza Mimi Mkuu wa Wilaya,Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri popote tutakapopita tutahimiza habari za uchangiaji wa chakula mashuleni”.

Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Mussa Rashid akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema mara nyingi kinachopelekea watoto kuzaliwa na uzito mdogo akina mama  wajawazito kuchagua aina ya  vyakula.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Habari Halamshauri ya Wilaya ya  Madaba

Mei 9,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa