• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAJASIRIAMALI Madaba walivyojipanga kuonyesha Biashara zao siku ya uzinduzi wa Jukwaa la Wilaya

Posted on: August 22nd, 2023

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Anita Makota amezungumza na wanawake wajasiriliamali  katika Kijiji cha Ndelenyuma Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba.

Akizungumza na wanawake hao  amewaelekeza juu ya uzinduzi wa jukwaa la wananwake la Wilaya  linalotarajiwa  kuzinduliwa Septemba 28/2023.

Amesema jukwaa hilo litasaidia  kutengeneza fursa kupitia kwa wajasiriamali wadogo wadogo wa Halmashauri ya Madaba na watapata fursa ya kuonyesha biashara zao. 

Hata hivyo Makota ameongea na wanawake  wajane  amewaeleza juu ya kuunda mtandao wa Wajane  utakaowasaidia  wenyewe kwa wenyewe kutiana moyo pamoja na kushirikiana katika fursa mbalimbali na kutatua changamoto zao.

“Mtandao huo utawasaidia kuwa na neno moja,nguvu moja,sauti moja na kuwasaidia kuleta ushirikiano katika mipango yenu”.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya  Madaba

Agosti 22,2022.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa