• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAJANE Madaba wapewa Elimu ya Mirathi

Posted on: June 28th, 2024

HAKIM Mkazi Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Rita Chale ametoa elimu ya Mirathi katika maadhimisho ya siku ya wajane yaliyofanyika Juni 27,2024.

Akizungumza katika maadhimisho hayo amesema mirathi inahusisha mali za marehemu na usimamizi ikiwaenzi za uhai wake alikuwa na mali na ameacha ndugu ,watoto na mke/mume.

Amesema Mirathi inayoongozwa na sheria za kimila au kidini kutokana na mali alizoacha marehemu kwa warithi wa kwanza  ambao ni muke/mume na watoto

Chale amesema baada ya marehemu kufa familia inaweza kupendekeza mtu wa kusimamia mirathi na mahakama kumtea kwa kuangalia vigezo ambavyo wameona au kumkataa kwa sababu walizoona.

“Tuelewe kitu kimoja msimamizi wa mirathi siyo mrithi kazi yake ni kusimamia mali zilizokuwa na mmiliki na akafariki”.

Hata hivyo amesema  katika ugawaji wa mali za mirathi mahakama haina mamlaka ya kugawa mali bali familia igawane kwa kiasi gani kwa kila mmoja hapo familia zitagawa kwa mtindo wa kimira na kidini.

“Tunashauri sana watu wakae kama familia hata yeye aliyeacha mali hakutaka mali zake ziwe chanzo cha ugomvi angetambua ni hivyo mali zake angeuza kabla hajafa ”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashuri ya Wilaya ya Madaba

Juni 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa