• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAHITIMU wa Chuo cha Sauti Songe 2016 hadi 2018 walivyojifunza Uwekezaji Ndolela Madaba

Posted on: September 22nd, 2023

WAHITIMU wa chuo cha Sauti   Songea wa Mwaka 2016 hadi 2018 wafani tofauti wametembelea eneo  la Uwekezaji la Silver Land Ndolela Katika Halmashauri ya Madaba wameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile na Mkuu wa Idara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi Joseph Mrimi Halmashauri ya Madaba.

Moja kati ya wahitimu hao Ernest Anord amesema wemepewa fursa ya kufika kujifunza katika eneo la uwekezaji wa mbegu za mazao mbalimbali na Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile.

Anord amesema wameona faida ya kufika katika eneo la Hekta 500  linalowekeza   uwekezaji  mkubwa wa mbegu za viazi mviringo, Alizeti na Maharage aina 72 za Mbegu,Ngano kupitia umwagiliaji  teknolojia ya kisasa.

Meneja wa Kampuni hiyo ya Silver Land Ndolela Christian Kihindo amesema Kampuni hiyo kwa mara ya kwanza walianzaza kulima Mahindi ya chakula,ngano pamoja na Soya walilima Mwaka 2016/2017 hawakufanya vizuri walibadilisha na kuanza kulima mbegu.

Kihindo amesema   kwasasa wawekezaji hao Mbegu zinazozalishwa wanawauzia  makampuni ya hapa Tanzania kama vile Seed co,Baya pamoja na Zamseed na Maharage yanauzwa Nchi ya Italy.

Hata hivyo Meneja amesema mbegu za Alizeti zinazalishwa kwaajili ya wakulima wa Tanzania pamoja na shirika la Kiserikali ASA.

Amesema wawekezaji hao wanalima mara 2 kwa mwaka  kwa umwagiliaji kupitia umeme wao uliotegwa kupitia maporomoko ya mto Luhuhu umeme unaotumika ni asilimia 80 na Umeme wa Tanesco asilimia 20.

Kihindo amesema katika Kampuni ya Silver Land Ndolela kuna wafanyakazi 150 walioajiliwa na ajira ya kudumu na wafanyakazi wa mda mfupi zaidi ya 600 wanaokuwa kwa msimu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 22,2023.

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa