• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAHALIBIFU wa Misitu wachukuliwe hatua

Posted on: January 1st, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololeth Mgema amewaagiza wananchi wa Halmashauri ya Madaba kuwachukulia hatua wanao halibu misitu.

Hayo amezungumza alipo tembelea kijiji cha Lilondo na kushiriki zoezi la upandaji wa miti katika eneo la Shule ya Sekondari Lilondo.

“Misitu ni uhai wetu tuwachukie wanaoharibu misitu kwenye vikao vya hadhara vijijini  iweajenda ya kudumu “.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa amewapongeza wananchi wa Kata hiyo kwa kuhamasika katika zoezi la upandaji wa miti na kutambua umuhimu wa upandaji wa Miti.

Amesema wananchi hao waendelee kuwa na moyo wa kujitoa ikiwa leo nisiku ya kwanza ya mwezi wa kwanza Januari 2023 lakini imekuwa jambo jema wananchi hao kutambua umuhimu wa kupanda miti.

Kwa upande wake Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Kassimir amesema ni siku ya uzinduzi wa upandaji miti katika kijiji cha Liliondo katika siku 2 imepandwa miti 1,000 na miti 100,000 ya kibiashara watapewa wananchi.

Mhifadhi ametoa wito kwa wananchi  kuhakikisha kila mwananchi anapanda miti na kuitunza na amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kujumuika katika zoezi hilo muhimu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba

Januari 1,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa