• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAANDIKISHAJI wa daftari la mpiga kula wala kiapo

Posted on: October 8th, 2024

Msimamizi mkuu wa uchaguzi Sajidu Idrisa Mohamed  akiwakilishwa na msimamizi msaidizi wa uchaguzi Abdul Manga  ametoa rai kwa waandikishaji  wa daftari la wapiga kura kulichukulia uzito wake zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kula.

Hayo amesema katika mafunzo ya waandikishaji wa daftari la mpiga kula yaliyofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari ya Madaba day  amesema Serikali inatumia fedha nyingi kwaajili ya uchaguzi.

Hata hivyo amesema amewaomba kutambua kwa wao ni  watumishi waumma wajue  sheria,taratibu na kanuni  ikiwa watu wa ofisi ya Rais Tamisemi  waliamua kuweka vigezo zoezi  hilo lifanywe na watumishi wa umma”.

“Mimi kama msimamizi ngazi ya Wilaya sitapenda kuona dosari yoyote inatokea kwa mmoja wetu wakati wa kutekeleza zoezi hili na nina imani mnayajua vema maeneo yenu mkafanye kwa weledi na uzalendo mkubwa “.

Hata hivyo amesema waandikishaji hao wahakikishe wanatunza vifaa vyote vitakavyotumika katika zoezi hilo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano

Oktoba 7,2024.        

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa