• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

VITENDO vya ukatili 442 vyalipotiwa Ruvuma

Posted on: November 26th, 2022

VITENDO vya ukatili wa kijinsia 442 vimeripotiwa katika Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma katika kipindi cha miezi sita iliyopita .

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wakati anatoa taarifa kwa wanahabari kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia nchini Ikulu Ndogo mjini Songea.

Amesema kati ya vitendo hivyo kubaka matukio 24,kujeruhi matukio 48,mimba kwa wanafunzi matukio 49,matukio 112 ya kudhuru mwili,shambulio la aibu matukio 45 na kutumia lugha za matusi matukio 42.

RC Thomas amelitaja lengo la maadhimisho hayo ambayo hufanyika kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 kila mwaka ni kujitathimini katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. “Katika kipindi hiki kila mwananchi atapata fursa kutafakari masuala ya ukatili wa kijinsia na hatimaye kama Jamii kukata shauri ili kutokomeza vitendo hivyo “,alisisitiza.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa jamii nzima vikiwemo vyombo vya habari kutoa elimu endelevu ili kunusuru jamii dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Kanali Thomas ameutaja wajibu wa vyombo vya haki kama polisi na mahakama kuwa ni kusimamia sheria na kutoa elimu ya sheria kwa kila aina ya ukatili.Kaulimbiu ya maadhimisho kwa mwaka 2022 ni kila uhai una thamani:tokomeza mauaji na ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Imeandikwa na Albano Midelo wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Mkoa wa Ruvuma.Novemba 26,2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa