• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

VIONGOZI Madaba endeleeni kudumisha mshikamano

Posted on: April 30th, 2024

HALMASHAURI ya Madaba wamesisitizwa kuendeleza mahusiano mazuri katika utendaji Kazi baina ya Madiwani na watumishi.

Hayo amesema mwakilishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Amandus Chilumba katika Baraza la Madiwani katika kikao cha robo ya tatu mwaka 2023/2024.

“Hizi Halmashauri  sawa na sarafu ambazo zinategemeana hakuna upande mwingine ni bora kuliko upande wa mwenzake Madiwani hamuwezi kufanya kazi bila wataalam na wataalam hamuwezi kufanya kazi bila madiwani”.

Hata hivyo chilumba amempongeza Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kwa kuhakikisha anamaliza migogoro na kuweka mikakati ya pamoja.

CHilumba ametoa rai kwa madiwani na wataalam kuhakikisha wanabuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia vile ambavyo vipo.

“Mara nyingi nasisitiza wataalam na Madiwani tuibue vyanzo vipya na tusimamie hatuwezi kusimamia wananchi bila kuwa na vyanzo vingi vya mapato tunataka tuone hivyo”.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa amesema kutokana na swala la ukusanyaji wa mapato wamejipanga kuhakikisha wanasimamia  ikiwa bila mapato Halmashauri haitakuwa na maendeleo.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

April 30,2024.      

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa