• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Ujio wa Madaktari Bingwa Madaba waleta tija kwa Wataalam wa Afya na wananchi

Posted on: October 30th, 2024

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mussa Rashid amewapongeza Madaktari bingwa Bobezi wa Mama Samia kwa kuwa chuo cha kujifunza kwa Madaktari wa halmashauri ya Madaba.

Hayo amesema leo alipowatamburisha madaktari hao kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kuwa ujio wao umeleta tija kupitia uwekezaji ambao Rais Samia ameufanya kwa mara ya pili.

“Ni mpango endelevu kwa Nchi yetu hii ni awamu ya pili sasa awamu ya kwanza ilikuwa mwezi wa tano mwaka huu 2024”.

 Hata hivyo Rashid amesema mpango huu wa kuleta Madaktari bingwa umeleta chachu kwa wataalam wa Afya kupenda kujiendeleza kusoma na ikiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameleta vifaa ambavyo vinahitaji utaalam katika matumizi yake.

“Jambo hili kwa wananchi limekuwa ni heri sana limepunguza gharama kubwa kufuata huduma Muhimbili na sehemu zingine  huu mpango ni mzuri tunampongeza Rais kwa kuleta huu utaratibu na kufanya Nchi iweze kufikika kwa haraka kupitia Afya“.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Oktoba 30,2024.        

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa