• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Uchaguzi Jimbo la Madaba ulivyopita kwa Amani

Posted on: November 2nd, 2020

MSIMAMIZI Mkuu wa Uchaguzi Jimbo la Madaba  Mkoa wa Ruvuma Shafi Kassim Mpenda amemtangaza Mbunge Joseph Kizito  kupita bila kupingwa ikiwa ni mara ya pili katika Jimbo hilo.

Akitoa taarifa hiyo ofisini kwake jana amesema Jimbo la madaba uchaguzi umefanyika  kwa utulivu kabla  ya zoezi hilo  kata nne Madiwani wamepita bila kupingwa  na kata nne Madiwani wamepita kwa kuchaguliwa kwa chama cha CCM.

Hata hivyo amesema Jimbo la Madaba wamefanikiwa kufanya uchaguzi katika kata nne na vituo vya kupigia kura vilikuwa  miamoja na nanae na hali ilikuwa shwali.

“Kwa upande wa Ubunge Mh. Joseph Kiziti alifanikiwa kupita bila kupingwa katika hatua za awali za uteuzi katika nafasi ya udiwani  kata zilipita bila kupingwa na kata nne tulifanya uchaguzi ikiwa ya Kata ya Mtwangimbole ameingia diwani mpya wa CCM na kumwacha mbali Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendelea ya Jamii (CHADEMA)  na kuibuka kidedea kwa kura nyingi katika ngazi ya chama cha CCM’’.amesema Mpenda.

Mpenda amesema ikiwa ni mara yake ya kwanza kuteuliwa kusimamia uchaguzi amemkabidhi Mbunge wa Jimbo la Madaba Cheti na kusubilia kuapishwa rasmi.

Mpenda amewapongeza Maafisa uchaguzi kwa ushirikiano waliouonyesha  katika kipindi chote cha uchaguzi  kwa ufuatiliaji katika vituo vyote na kuhakikisha zoezi hilo limefanyika na kuisha salama.

Kwa upande wake Mh. Diwani mteule wa kata ya Lituta Jimbo la Madaba Orasmo Pili aliyeteuliwa kwa chama cha CCM amewashukuru wananchi kwa kumchagua na ameahidi kusimamia Maendeleo na kutekeleza ilani ya chama cha Mapinduzi  CCM na kuonyesha ushirikiano kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Madaba.

Naye Mh. Diwani aliyepita bila kupingwa katika chama cha CCM Vastusi Mfikwa  Kata ya Mkongotema Jimbo la Madaba amesema amepita bila kupingwa kutokana na wananchi wamemwamini na utekelezaji wake akishirikiana na viongozi wa Ngazi ya Juu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari Halmashauri ya Madaba

Oktoba 29,2020.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa