• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

UANDIKISHAJI wa darasa la Awali na la Kwanza wavuka lengo Madaba

Posted on: March 1st, 2023

UFUATILIAJI wa ufundishaji na upimaji wa wanafunzi katika  Shule za Msingi Halmashauri ya Madaba unaendelea kwa mda wa miezi miwili kuanzia shule zilipofunguliwa Januari 9,2023.

Maafisa Elimu Msingi Katika Halmashauri hiyo wametembelea Shule mbili za  Msingi Mkwera na Madaba na kuangalia uelewa wa wanafunzi wa Darasa la awali hadi la nne kama wanamudu kusoma na kuandika.

Afisa  Elimu Takwimu na Vifaa Raphael kibirigi amewakumbusha Wlimu wajibu wao  wanapokuwa katika eneo lao la kazi ili kuhakikisha wanafunzi wanamudu kusoma pamoja majukumu mengine.

 Kibirigi ametoa rai kwa walimu hao kuhakikisha wanashirikiana na Mwalimu Mkuu kusimamia miradi inayoletwa katika Shule husika ukiwemo mradi wa Nyumba moja ya mwalimu katika Shule ya Msingi  Madaba na miradi mingine ambayo hivi punde itaanza kutekelezwa ikiwemo ya  Swash na Boost.

“ Walimu hakikisheni mazingira ya Shule yanakuwa safi hasa katika kipindi  hiki cha mvua na madarasani”.

Mkuu wa Shule ya Msingi Mkwera Magreth Nyange amesema uandikishaji wa wanafunzi wa awali mwaka 2023 hadi kufikia sasa waliopo darasani ni 111 na darasa la kwanza 87 na kufikia kiwango cha kuvuka lengo.

Hata hivyo Shule ya Msingi Madaba mpaka kufikia sasa wanafunzi wa darasa la awali wapo 101 na darasa la kwanza 98.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Madaba

Machi 1,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa