• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

TFS Wino watoa mifuko 200 ya ukarabati wa madarasa Sekondari Wilima

Posted on: October 14th, 2023

Wakala wa Misitu Wino (TFS) wametoa mifuko 200 ya Saruji katika shule ya Sekondari Wilima Halmashauri ya Madaba  kwaajili ya ukarabati wa Madarasa ya Kidato cha tano na sita

Hayo ameyasema Meneje wa TFS Wino Grory  Fotunatus aliyekuwa Mgeni rasmi katika Mahafari ya 34 ya  Kidato cha nne mwaka 2023 akiwakilishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa.

Mkuu wa Shule hiyo Christopher Mng’ong’o akisoma taarifa katika hafla hiyo amesema shule hiyo ni ya wananchi wa Halmashauri ya Madaba na inapokea wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali za Nchi ya Tanzania.

 Mng’ong’o amsema shule hiyo inamajengo ya kutosha, na wallimu 15,wanafunzi wanafanya vizuri mihihani na kufauru ikiwa mwaka 2022 wanafunzi waliohitimu kidato cha nne wote walifaikiwa kuingia kidato cha tano na kidato cha Sita walifanikiwa kujiunga na vyuo mbalimbali.

Amesema Shule hiyo imepata wahisani mbalimbali wakiwemo umoja wa wanafunzi waliosoma  Wilima wamejenga madarasa mawili ya kidato cha tano na sita,Wino SACCOS wamenunua vitabu,TFS  wamesaidia mbegu za miti pamoja na viriba vya kupandia miti,Mbuge wa Jimbo la Madaba  Joseph Mhagama amekarabati maabara .

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoa kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 14,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa