• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

TFS inavyounga mkono juhudi za Rais Samia

Posted on: July 20th, 2024

Wakala wa misitu Tanzania TFS wameunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 39 katika taasisi za kidini na Serikali.

Muhifadhi Mkuu wa shamba la miti Wino Grory Fotunatus Halmashauri ya Wilaya ya Madaba akizungumza katika makabidhiano ya vifaa hivyo kwa mbunge wa Jimbo la Madaba Mhe.Joseph Mhagama amesema lengo la taasisi hiyo ni kuunga mkono kwa wananchi walipofikia ili taasisi hiyo iweze kumalizia 

“Tumekuja mahali hapa tunaunga mkono jitihada za Serikali katika kuhakikisha juhudi za wananchi pale walipofikia na sisi tunaunga mkono ili waweze kuhifadhi misitu vizuri”.

Aidha muhifadhi amemshukuru Mhe.Mbunge kwa kuendelea kutoa ushirkiano na kuunga mkono jitihada za wananchi  na kuwakumbusha  katika eneo la uhifadhi wa misitu.

“Msitu wa wino umezungukwa na vijiji vingi na kunawananchi hapa madaba wanamashamba kule ndiomana tumekuja kuunga mkono”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 19,2024.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa