• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

TANI 443 za Mbolea za Ruzuku zawanufaisha wakulima Madaba

Posted on: November 16th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba imeandikisha Wakulima 20,336 kwaajili ya zoezi la ununuzi wa mbolea ya Ruzuku  hadi kufikia sasa wakulima waliosajiliwa kwa alama za vidole  ni 12,881.

Hayo amesema afisa Pembejeo wa Halmashauri hiyo Thadei Mbele mara baada ya kutembelea vituo vya ununuzi  wa mbolea za Ruzuku 9  vilivyopo katika Maeneo mbalimbali ya Halmashauri na kati ya Mawakala hao watatu wameanza kuuza mbolea hizo ikiwa ni Mtewele General Traders Madaba Ndelenyuma,Damiani Myoka Madaba pamoja na Devota Njawike Madaba.

“Jumla ya Mawakala 9 wamepata nafasi ya  kuwahudumia wakulima  kwa kuwauzia mbolea ya ruzuku  kwa msimu wa kilimo 2022/2023”.

Mbele amesema hadi kufikia sasa Mbolea za Ruzuku zilizoingia katika Halmashauri hiyo Jumla ya Tani zote ni 443 ikiwemo DAP tani 47,MINJINGU PLUS tani 3, MINJINGU TOP DRESSING  tani 1,SA tani 115,CAN tani 50.5,UREA tani 194.5,YARAMILA AMIDAS  tani 32.

Afisa kilimo ameelezea baadhi ya changmoto zilizojitokeza kwa wakulima  waliosajiliwa na kupata namba,kutopata huduma kutokana na kuingiliana kwa namba za wakulima na kutoonekana namba kwenye mfumo.

“Wakulima waliopata changamoto  Suluhisho la changamoto  hizi waje  katika idara ya Kilimo,Mifugo ,na Uvuvi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri”.

Amesema changamoto nyingine ni baadhi ya Mawakala wengi waliopata Lesen za Kuuza Mbolea za Ruzuku toka mamlaka kushindwa  kuingia katika biashara ya kuuza Mbolea za Ruzuku kutokana na mitaji midogo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Madaba

Novemba 16,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa