• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imeokoa fedha zaidi ya shilingi milioni 50

Posted on: January 26th, 2021

TAKUKURU  Mkoa wa Ruvuma katika kipindi cha Robo mwaka kuanzia januari mpaka Machi imejipanga kuelimisha jamii, kupiga vita rushwa kwa kutokuwa sehemu ya wanaoshiriki rushwa.

Akitoa taarifa ya robo mwaka ya Oktoba hadi Desemba 2020 kwa waandishi wa Habari katika kikao kilichofanyika leo katika ukumbi wa ofisi ya Takukuru Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda amesema wataendelea kufuatilia miradi ya Serikali inayoendelea kutekelezwa  katika hatua mbalimbali ili kuhakikisha thamani ya fedha  inaonekana  katika miradi hiyo.

“kipindi cha kuanzia mwezi oktoba mpaka Desema 2020 ofisi ya Takukuru Mkoa wa Ruvuma jumla ya taarifa 170 kutoka kwa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali ikiwemo kesi zilizoendelea Mahakamani na kesi zilizofunguliwa’’.

Mwenda amesema katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2020 Takukuru Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kuokoa fedha zaidi ya  shilingi milioni 50 kutokana na uchunguzi mbalimbali zilizofanyika.

Hata hivyo amesema Takukuru Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kufuatilia  miradi ya maendeleo 10 ili kujilidhisha iwapo fedha hizo zilizotengwa kwaajili ya utekelezaji wa miradi husika zinatumika kadri ilivyokusudiwa.

Amesema miradi hiyo iko katika sekta za ujenzi wa miundombinu ya maji,Barabara,Elimu na huduma za Vikundi,yenye thani ya jumla ya shilingi Bilioni Moja.

Katika kuendelea kutekeleza jukumu la kushirikisha na kuelimisha Jamii kupambana dhidi ya Rushwa,Takukuru Mkoa wa Ruvuma katika kipindi hicho imefanya semina 52,Mikutano ya Hadhara 68,kazi 164 na kuimalisha klabu  za wapinga rushwa kwenye shule za Msingi na Sekondari Mkoani Ruvuma.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari Halmashauri ya Madaba

Januri 26,2021

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • MADABA DC & TFS WAFANYA MATENDO YA HURUMA

    March 04, 2026
  • DED MADABA ASISITIZA UTATUZI WA KERO NA USIMAMIZI IMARA WA MIRADI KWA WEO NA VEO

    March 02, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI MADABA LAKETI KUPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU ROBO YA PILI

    January 30, 2026
  • MADIWANI MADABA WAPATIWA VISHIKWAMBI

    January 29, 2026
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • AXL777
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • toto slot
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs toto
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • ombakemas77
  • ombakemas77
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77
  • situs toto