• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Shule ya St Getrude yaongoza tena ufaulu

Posted on: May 4th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamefanya tathimini ya Mtihani wa  utamilifu wa Wilaya wa  Darasa la Saba.

Tathimini hiyo imefanyika katika Shule ya Msingi Madaba ikiwa shule ya Msingi St Getrude imeongoza kwa asilimia 100 ikifuatia Shule ya Msingi Mkwera asilimia 84.21.

Hata hivyo Mwalimu wa Shule ya St Getrude January Nyongole ameeleza sababu inayopelekea kuchukua nafasi ya kwanza kila mwaka ikiwemo mahusiano mazuri kazini Mwalimu Mkuu na walimu wengine, Mitihani ya mara kwa mara pamoja na kufanya tathimini kila wiki baada ya Mtiahni.

Afisa Elimu Taaluma Rashid Hashim  Pili  Halmashauri ya Madaba Kufuatia tathimini hiyo amesema Kata ya Mkongotema imeongoza kwa asilimia 72.58 na nafasi ya pili imechukua Kata ya Lituta kwa asilimia 62.56,pamoja na Kata ya Matumbi kuwa nafasi ya mwisho kwa asilimia 16.33.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ifinga Erasmo Mlowe mara baada ya kupokea matokea amekili kuyapokea na kuahidi kubadilika katika matokea ya mitihani ijayo.

Hata hivyo ameeleza changamoto ikiwa ni pamoja na upungufu wa walimu katika shule nzima kuwa na walimu 3 na kusababisha mzigo mzito  wa Vipindi katika ufundishaji kwa Walimu hao.

Afisa Elimu Halmashauri ya Madaba Saada Chwaya kufuatia changamoto alizotoa Mwalimu wa Shule ya Msingi Ifinga amesema amekwisha peleka walimu 2 na wamesha lipoti katika Shule hiyo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Mei 4,2023

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa