• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI yatoa Shilingi Bilioni Moja utekerezaji wa Miradi ya BOOST na SWASH Madaba

Posted on: July 12th, 2023

Serikali  imetoa zaidi ya shilingi Bilioni moja kutekeleza miradi ya Boost na Swash Halmashauri ya Madaba.

Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji Sajidu Idrisa Mohamed amesema Halmashauri hiyo imepokea zaidi ya shilingi Milioni 610 kupitia mradi wa Boost kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Shule sita za Msingi.

Mohamed amebainisha zaidi kuwa Halmashauri hiyo imepokea zaidi ya shilingi Milioni 436 kupitia mradi wa SWASH  kwaajili ya ujenzi matundu ya vyoo na uwekaji wa miundombinu ya maji katika shule za Msingi 11.

Hata hivyo miundombinu  mingine inayotekelezwa kupitia mradi wa SWASH  ujenzi wa kichomea taka,ujenzi wa placenta na ujenzi wa sehemu ya kunawia  mikono katika Zahanati ya Ngumbiro.

“Kwa niaba ya wananchi wa Halmashauri ya Madaba tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hasan kwa kuendelea kutuletea fedha za kutekeleza miradi mbalimbaliya maendeleo”.

Amesema Shule ya Msingi Mahanje imefikia hatua ya Ukamilisha na kufikia asilimia 90 ya Mradi huo.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Julai 12,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa