• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI yaleta Vifaa vya Tehama kwaajii ya mafunzo kazini kwa Walimu

Posted on: March 18th, 2024

SERIKALI ya awamu ya sita  imeleta vifaa vya Tehama kupitia mradi wa BOOST Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwaajili ya kituo cha mafunzo kazini kwa walimu wa Shule za Msingi (TRC).

Kituo hicho kitakuwa katika Shule ya Msingi Madaba, Afisa Elimu takwimu na vifaa Raphael Kibirigi amekabidhi vifaa hivyo kwa mkuu wa Shule ya Msingi Madaba Victor Luoga ikiwa Computer tano na priter moja.

Naye Mkuu wa Shule hiyo ameipongeza Serikali kwa kuhakikisha inaleta  vifaa vitakavyosaidia walimu kujifunza na kujiongezea maarifa .

Naishukuru  Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia,Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama,Mkurugenzi Mtendaji Sajidu Idrisa Mohamed  kwa kuhakikisha walimu tunapata  vifaa vya Tehama kwaajili ya mafunzo kaziniā€.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba                                            

Machi,19,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa