• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI yabadili matumizi eneo la Hekta 4600 lililokuwa linatumika kwa ufugaji kulima Mahindi ya Njano

Posted on: June 7th, 2023

SERIKALI imebadili matumizi eneo  lililotengwa kwaajili ya ufugaji lenye hekta 4600  kijiji cha Ngadinda  kuwa eneo la kilimo cha Mahindi ya njano.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile ametoa taarifa hiyo alipoongea na wananchi katika kijiji hicho eneo hilo  ambalo  serikali ilitenga kwaajili ya wafugaji   kuacha na kuondoka mara moja katika eneo hilo.

Ndile amesema Madaba na Mkoa wa Ruvuma ni eneo la Kilimo na linategemewa kwa kulisha Taifa la Tanzania hivyo ameagiza kukamatwa kwa Ng’ombe watakao onekana katika Wilaya ya Songea na kutozwa faini.

“Hakuna Ng’ombe yoyote kuingia Madaba wananchi naomba mtupe ushirikiano kwa kutoa taarifa mara moja mkiona Makundi ya Mifugo katika Maeneo yenu”.

Mkuu wa Wilaya ameipongeza Serikali kwa uamuzi wa kubadili matumizi  ya eneo la Ufugaji kuwa eneo la Kilimo ambalo litasaidia upatikanaji wa mahindi ya njano  kwaajili ya  kulishia mifugo Tanzania na kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka  Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Juni 6,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa