• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI ya awamu ya Sita ilivyojenga vyumba vya Madarasa Madaba

Posted on: February 17th, 2023

WATAALU kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma wametembelea mradi wa Darasa moja katika Shule ya Sekondari Magingo.

Mkuu wa Shule hiyo Said Kunemka amesoma taarifa ya mradi huo wa darasa moja uliokamilika kwa asimilia 100 umetekelezwa kwa shilingi milioni 20 fedha kutoka Serikali kuu.

Mkuu wa Shule hiyo amesema mradi huo uliaza kutekelezwa rasmi Octoba 24,2022 na kukamilika Desemba 4,2022.

“Mpaka sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 100  na umeghalimu kiasi cha shilingi milioni 20 hakuna salio lililobaki”.

Kunemka amezitaja faida za mradi huo ikiwa ni pamoja na kupunguza tatizo la madarasa,meza na vita,kuwezesha uandikishaji wa  wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangwa kujiunga 2023  katika Shule hiyo.

Kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani,kuamsha ari ya wanafunzi kujifunza pindi wawapo Shuleni,upatikana wa samani bora kwa wanafunzi wakati wa kujifunza.

Kunemka ameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ambavyo vinaendelea kuleta tija ya kuboresha mazingira ya kujifunzia mashuleni.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba.

Feburuari 17,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa