• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RUWASA wapanda Miti 500 katika chanzo cha Maji cha Mto Madaba

Posted on: March 27th, 2023

WAKALA wa Maji Vijijini (RUWASA) wameshirikiana na Jumuiya ya watumia Maji JUALULU,pamoja na Kikundi cha kutunza Mazingira cha Tazama Halmashauri ya Madaba wamepanda Miti 500 katika chanzo cha Mto Madaba.

Mhandisi Sheila Kimweli katika zoezi hilo amesema wamepanda miti hiyo kwa lengo la kuhakikisha wanatunza vyanzo vya maji ili kuhakikisha wanavilisisha vizazi vijavyo.

Kimweli ametoa wito kwa wananchi wote kuhakikisha wanatunza mazingira ili kuhakikisha wanaboresha kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 inayosema Tunza mazingira,okoa vyanzo vya maji kwa ustawi wa viumbe hai na uchumi wa Taifa.

Kwa upande wake afisa Mtendaji wa kijiji cha Madaba Stephano Lungu amesema kwa kutambua umuhimu wa utunzaji wa Mazingira ameungana na kikundi cha Tanzama kupanda miti katika eneo la Mto Madaba.

Lungu ametoa rai kwa wanahanchi kuhakikisha wanashiriki zoezi la upandaji miti na kutunza mazingira kila iitwapo leo ili kuhakikisha mazingira yanaboreshwa.

“Napenda kuwahamasisha wananchi utunzani wa mazingira na kupanda miti nawasihi upandaji wa miti ni muhimu sana kwa afya “.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa