Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Jairy Kanga ametoa rai kwa wananchi mkoani Ruvuma kutumia mbinu zote zilizotolewa na wataalam wa afya katika kuchukua tahadhari na kujilinda dhidi ya maambukizi ya wimbi la tatu la virusi vya corona ambapo hadi sasa nchi jirani tayari zimeingia katika wimbi hilo.Tazama habari kwa kina hapa https://www.youtube.com/watch?v=wopVfbbBCcQ
MADABA - RUVUMA
Anwani ya Posta: P.O.BOX 10
Simu: 0252951052
Simu ya Mkononi:
Barua pepe: info@madabadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa