• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC RUVUMA atoa maagizo ya ukamilishaji wa Miradi ya Boost Madaba

Posted on: September 22nd, 2023

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas amekagua mradi wa ujenzi wa Shule ya Mkondo mmoja kupitia mradi wa Boost uliojengwa kwa shilingi Milioni 331,600,000/=

Thomas mara baada ya ukaguzi wa Shule hiyo amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile kusimamia samani zote zinazotakiwa kuwepo madarasani na Ofisi za Walimu  bila kuongeza pesa za mapato ya ndani,bembe zote zinazotakiwa zitengenezwe,laps zilizoonyesha nyufa zirekebishwe.

Ameagiza fundi wa kutengeneza madawati alipwe kwa bei elekezi,Milango yote pamoja na madawati yapigwe vanishi na kufanyiwa usafi,malumalu kwenye jengo la utawala zibadilishwe pamoja na chemba zibadirishwe.

“Mheshimiwa Rais anatafuta fedha ni wajibu wetu wote tusimamie miradi marekebisho hayo yawe yamekamilika ifikapo Septemba 30,2023”.

Mkuu wa Mkoa ameagiza wanafunzi ambao wamejaa katika Shule ya Mkongotema kuanzia darasa la pili  kuanza kutumia Shule mpya  mara baada ya kukamilisha maagizo aliyoyatoa.

“Shule hiyo ni Mpya tutengeneze Mazingira Mazuri  maana hii shule ni nzuri na iwe na mazingira mazuri mmekata miti yote ya asili  pandeni Miti ya matunda  “.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kuwa marekebisho aliyoyasema  yatafanyiwa kazi kwa wakati.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 22,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa