• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ruvuma atoa maagizo manne kwa wakuu wa Idara Madaba

Posted on: April 2nd, 2024

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahamed akiwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Kisare Makori ametoa maagizo manne ya utekelezaji na kujibu hoja ipasavyo kwa wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Hayo amesema  katika kikao cha mapitio ya utekelezaji wa maagizo ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri.

Makori akiyataja maagizo hayo kufuatia kamati hiyo ilitoa maagizo sita yaliyotakiwa kutekelezwa na menejimenti ya utekelezaji wa Halmashauri ya Madaba ikiwa hakuna hoja iliyotekelezwa.

Hivyo Mkuu wa Mkoa ameielekeza Menejimenti ya Halmashauri ya Madaba kushiriki ipasavyo kuandaa majibu ya hoja na utekelezaji wa mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali.

“Sekretalieti ya Mkoa kwa kushirikiana na menejimenti ya Halmashauri mpitie majibu na vielelezo vyote vya hoja kwa hoja kabla ya kuwasilisha CAG kwaajili ya uhakiki”.

Hata hivyo Makori amesema maandalizi ya majibu ya hoja yaanze mapema mara baada ya taarifa ya CAG inapotoa ratiba ya mapitio na majibu na maandalizi ya uhakiki yaratibiwe na sekretalieti ya Mkoa.

“Halmashauri ichukue hatua ya kinidhamu kwa watumishi wanaozalisha hoja na kuona ni jambo la kawaida kwa kuzalisha hoja za ukaguzi”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Aprili 2,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa