• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ruvuma ashiriki zoezi la upandaji miti Madaba

Posted on: December 31st, 2022

Kufuatia siku ya Januari mosi ni siku ya upandaji wa Miti Kitaifa  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thoma ameshiririki zoezi la upandaji wa Miti Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Wilaya ya Songea.

Zoezi hilo limefanyika katika Hospitali ya Wilaya ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeth Mgema,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed,Watumishi wa Halmashauri pamoja na watumishi wa TFS kutoka shamba la miti Wino.

Meneja wa Tfs Shamba la Wino  Grory Kassimir amesema miti iliyopandwa ni kwaajili ya kulinda vyanzo vya maji pamoja na miti ya mbao.

Hata hivyo amesema miche ya miti hiyo inapatikana bure katika shamba hilo ikiwa kila mwananchi anakaribishwa kuchukua ili ahakikishe anapanda katika maeneo tofauti.

Afisa misitu Mustapha Yange amesema  imepandwa miti ya aina tatu ikiwemo mipaina,mizambarau,na migwina lengo la upandaji wa miti hiyo inasaidia kulinda mazingira ikiwa kila mwananchi anatakiwa kupanda miti mitano itasaidia kupuguza janga la ukame.

“Kila mwananchi angalau apande miche mitano ambayo kulingana na mabadiliko ya  tabia ya nchi itasaidia kupunguza   janga la tabia ya nchi ”.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa