• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ruvuma akemea mila potofu siku ya Wanawake

Posted on: March 8th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas akiwa mgeni rasmi katika Sherehe ya wanawake Duniani amekemea mira potofu zinazowakandamiza wanawake.

Maadhimisho hayo Kimkoa yamefanyika Katika Wilaya ya Nyasa na Kauli mbiu katika sherehe hizo ikisema ubunifu wa mabadiliko ya Teknolojia chachu katika kuleta haki na usawa wa kijinsia.

Thomas amesema kauli mbiu hiyo inasisitiza umuhimu wa  mawazo ya ujasiri yenye kuleta mabadiliko Teknolojia jumuishi,ubunifu Elimu na uweza wa kupambana na ubaguzi wa kutengwa.

“Swala la haki na usawa siyo fadhila ni matakwa ya wazi kikatiba chini ya Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 sura ya 1 sehemu ya 3 ibara ya 12 na 13”.

Hata hivyo amesema pamoja na kuwa bado kuwa kuna mira potofu ambazo zinaendelea kuwakandamiza wanawake kusababisha kutokuwa haki na usawa katika kaya maskini kwa miaka mingi.

Thomas amezitaja sababu za wanawake kuendelea kubaki maskini ikiwa moja wapo ni katika kuumizwa katika umiliki wa rasilimali,kukosa dhana ya kuwawezesha upatikanaji wa huduma za kifedha,haki ya kupata Elimu,haki ya kuchaguliwa  kuwa viongozi ndani ya jamii na hata haki ya kuchagua mume.

“Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imesimamia katika kulinda haki ya kujenga usawakwa jamii zote na kuhakikisha wanawake wanapata haki kwa kwa kujiamini na kushika nafasi mbalimbali”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Februari 8,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa