• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ruvuma aipongeza Halmashauri ya Madaba kwa kupata hati safi Miaka sita mfululizo

Posted on: June 23rd, 2023

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kupata hati safi Miaka sita mfululizo.

Hayo amesema katika kikao maalumu cha baraza la Madiwani cha kujadili hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi katika Halmashauri hiyo.

“Hati safi ni ushirikiano na mshikamano huleta  matokeo ya utendaji kazi mzuri wa Mkurugenzi na Wataalam pamoja na Madiwani”.

Hata hivyo ameishauri Halmashauri hiyo kuongeza bidii katika utendaji kazi na kuhakikisha wanaendelea kupata hati safi katika ukaguzi ujao.

Kanali ameagiza uongozi wa Halmashauri kuhakikisha hoja na mapendekezo yote yaliyotolewa na CAG yanafungwa kabla ya Septemba 30 mwaka huu pamoja na kuzuia hoja zinazojirudia mara kwa mara.

“Waheshimiwa Madiwani Pamoja na Mkurugenzi wachukulieni hatua za kinidhamu watumishi wote wanaozalisha hoja,kama kuna mtu yoyote amezalisha hoja na amehamishwa arudishwe kwaajili ya kujibu hoja hizo”.kauli yake Mkuu wa Mkoa.

Mkuu wa Mkoa ameendelea kuagiza  kuzingatia  sheria,kanuni na taratibu  za manunuzi pamoja na kulipa madeni ya wazabuni.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Juni 22,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa