• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RAIS Samia atoa Milioni 200 ujenzi Nyumba za Walimu Madaba

Posted on: May 18th, 2023

KAMATI ya Fedha Halmashauri ya Madaba wametembelea na kukagua miradi mbalimbali ikiwemo Nyumba ya Mwalimu Shule ya Msingi Igawisenga iliyoghalimu kiasi cha shilingi Milioni 50 kutoka Serikali kuu.

Kaimu Mkuu wa Shule ya Msingi Igawisenga George Karata akisoma taarifa kwa Kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Teofanes Mlelwa amesema ujenzi ulianza Januari 2,2023 kwa kutekelezwa kwa force account.

Karata amesema hadi kufikia sasa ujenzi umefikia hatua ya kupaua,kuezeka,blandaring,kufunga dari na skimming ya dari.

Amesema zaidi ya shilingi milioni 43 kimetumika kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya viwandani na visivyo vya viwandani pamoja na malipo ya mafundi na ujenzi huo unatarajia kukamilika  Mei 30,2023.

Hata hivyo ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya Sita  inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia fedha  kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya Mwalimu,na Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Kizito Mhagama pamoja na Diwani wa Kata ya Wino ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa kwa jitihada wananzofanya kuhakikisha wanapata miradi ya Maendeleo.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei,17,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa