• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

PONGEZI Madaba Hati safi tangu kuanzishwa kwa Halmashauri

Posted on: June 29th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma wamepata hati safi kwa miaka mitano Mfululizo tangia kuanzisha kwa Halmashauri hiyo.

Hayo yamebainishwa kufuatia  kikao cha Balaza la Madiwani cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mapendekezo ya mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2020/2021.

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge katika balaza hilo ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kukusanya mapato ya ndani asilimia 89.

“Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi ya Mthibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali inaonesha Halmashauri imepata hati safi”.

Ibuge amesema miaka mitano tangu kuanzishwa kwa Halmashauri hiyo imefanya vizuri miaka mitano mfululizo  tangu mwaka 2016 hadi 2021.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teophanes Mlewa katika Balaza hilo amepokea pongezi hizo na kuahidi kufanyia kazi hoja zote na kusimamia miradi,mapato ya Halmashauri na kila kitu kiweze kwenda katika kanuni na taratibu.

Mlelwa amesema wamepokea maagizo aliyotoa  Mkuu wa Mkoa ikiwemo ni wajibu wao na kutekeleza kwa wakati ili Halmashauri iendelee kufanya vizuri ikiwemo kutatua hoja zinazojirudia.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 30,2020.

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa