• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

PINGA Ukatili wa Kijinsia kwa nguvu zote ili kupata viongozi shupavu wa Taifa letu

Posted on: November 29th, 2022

KUFUATIA  kampeni ya siku 16 ya kupinga ukatili wa Kijinsia kwa wanawake na watoto Maafisa maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii Halmashauri ya Madaba wametoa elimu katika Shule ya Madaba Day Sekondari na Shule ya Msingi Madaba.

Afisa Ustawi wa Jamii Livin Tarimo akitoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi wa Shule ya Sokondari Madaba Day  amesema madhara  yakufanyiwa ukatili ukiwa mdogo yanaweza kupelekea  kuleta matatizo ukubwani.

“Ninyi ni wasomi mnategemewa kutengeneza kizazi cha watu bora leo ni mwanafunzi kesho ni kiongozi ukifanyiwa ukatili wa kijinsia unaweza kuwa mtu wa visasi na hasira”.

Tarimo amewaasa wanafunzi hao kutoa taarifa kwa uongozi husika kama watafanyiwa ukatili na wazazi,au walimu  pamoja na watu wengine au kusikia mwenzao kafanyiwa ukatili wa kijinsia na watu wakaribu awebalozi kwa kutoa taarifa.

“Tuanze kutumia Elimu kuanzia sasahivi bila kusubiri  kufika chuo kikuu ukifanyiwa ukatili leo ukawa daktari unaweza kuua wagonjwa kwa kudhania kuwa wanaume wote au wanawake wote ni wakatili”.

Juma Komba ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Madaba amewaeleza wanafunzi hao sehemu ya kutoa taarifa endapo watafanyiwa ukatili wakijinsia  ikiwemo  kwa walimu wa malezi,Dawati la jinsi au Ofisi ya Ustawi wa Jamii pamoja na ofisi za Serikali za Mitaa.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Madaba

Novemba 29,2022.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa