• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

OMARY atoa Elimu ya kuzingatia umuhimu wa Maadili kwa Viongozi na watumishi Madaba

Posted on: January 31st, 2024

AFISA kutoka ofisi ya Viongozi wa Maadali Kanda ya Kusini Samweli Omary ametoa rai kwa Madiwani wakuu wa Idara na watumishi wengine kuzingatia  umuhimu wa  Maadili katika kazi.

Hayo amezungumza katika kikao kazi cha Baraza la Madaiwa kilichofanyika Januari 31 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba ameelezea umuhimu wa maadili kwa Viongozi na watumishi wa Umma.

Omary akielezea umuhimu huo amesema Kiongozi au mtumishi akiwa mwadilifu  anaweza kuchambua na kutambua madhara yanayoweza kutokea iwapo kiongozi atafanya maamuzi kwa kuzingatia misingi ya Sheria na maadili.

“Waheshimiwa Madiwani najua mnaitumikia Halmshauri ya madaba ni yenu wataalam waliopo hapa wametoka sehemu mbalimbali wamekuja kusaidiana na ninyi ili kuhakikisha ustawi wa wananchi katika Halmashauri, hamna budi kushirikiana na kufanya kazi kwa mshikamano ndio uadilifu”.

Hata hivyo Afisa wa Maadali amesema Kiongozi au mtumishi mwadilifu lazima ajue mipaka ya majukumu yake na kuwa mtunzaji wa siri juu ya kile ambacho wamejadili na kukubaliana.

“Viongozi na watumishi wale tunao watumikia tuwatumikie kwa uadilifu wa  hali ya juu”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Januari 31,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa