• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

NYAMA ya Sungura suluhisho la Udumavu kwa watoto

Posted on: August 4th, 2023

MFUGAJI wa Sugura wa Kisasa kutoa Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Meshack Vila ameelezea faidi ya Nyama ya Sungura kwa afya ya binadamu.

Mfugaji huyo anapatikana katika banda la Madaba linapatikana katika viwanja vya Maonnyesho ya Nane nane vya John Mwakangale Mkoani Mbeya amesema Nyama ya Sungura ipo katika kundi la Nyama nyeupo ambayo kiafya ni nyama bora  baada ya Samaki,Simbilisi inafuata nyama ya Sungura.

Vila amesema nyama hiyo mara baada ya kula inayeyuka mapema tumboni na inafaa kutumiwa na makundi yote ya binadamu,inaviwango vizuri vya protini na baadhi ya Madini ambayo yanasaidia katika Mwili wa binadamu katika suala zima la ukuaji.

“Kama unavyojua Mikoa yetu ya Kusini inaudumavu  tunashauri watu wafuge Sungura ili watoto wapate protini  waepukane na hayo matatizo”.

Hata hivyo  amesema ufugaji wa Sungura siyo wa kitoto bali ni ufugaji wa maendeleo na uchumi kimsingi kuamua kufuga kwa tija na kwa kisasa.

Amesema ukianza kufuga Sungura 3 majike 2 na dume moja kwa mwaka unaweza kuwa na Sungura 90 hadi 100 kwa mda wa mwaka mmoja.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmshauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 4,2023.       

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa