• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

NI lazima tuisimamie miti tuliyopanda

Posted on: January 20th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Mh. Pololeth Mgema amesisitiza watalaamu na viongozi wote kuhakikisha miti inapandwa na kutunzwa.

Hayo ameyasema katika Kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili ya mwaka 2022/2023 Halmashauri ya Madaba kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

“Tushirikiane pamoja katika upandaji miti tulianzia Hospitali ya Halmashauri,tukazindua katika Shule mpya ya Lilondo”.

Hata hivyo amesema miti ipandwe katika vyanzo vya maji , na maeneo mbalimbali ikiwa kama sehemu ya kutolea huduma ya afya ipandwe miti ya matunda.

“Nilazima tuisimamie miti hiyo iote kila mwezi tutakagua ile ambayo haikufanikiwa kuota tutairudishia hadi ifikapo aprili maana ni kipindi cha mvua”.

Mwenyekiti wa Halmashauri Teofanes Mlelwa amesisitiza zoezi la upandaji wa miti kwa kuwaagiza watendaji wa vijiji kuleta idai ya miti iliyopandwa katika kila kijiji ili kuhakikisha Madaba inakuwa kinara katika zoezi hilo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Madaba.

Januari 20,2023. 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa