• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

NAMBAILA:Viongozi wa Chama cha CCM Wino ni mfano wa kuigwa

Posted on: May 6th, 2024

Katibu wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Songea Juma Nambaila amewapongeza viongozi wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Wino Halmashauri ya Madaba kwa kutenga siku ya kuelezea mafanikio yaliyotekelezwa na Chama cha Mapinduzi.

Pongezi hizo amezitoa katika sherehe za mafaniko ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Serikali ya Kata ya Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba iliyoghalimu zaidi ya shilingi bilioni 2.

“Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Kata ya Wino wewe na wenzako mmefanya jambo jema sana kutenga siku ya kuelezea mafanikio, sisi tulipewa ridhaa na wananchi hawa mwaka 2020 walipanga foleni kwa kupiga kura kuchagua chama cha mapinduzi”.

Nambaila amesema jambo ambalo wamelifanya la kusoma mafanikio  ya Kata ya Wino kuanzia mwaka 2022/2023 na 2023/2024 ni mfano wa kuigwa.

“Ndugu mgeni rasmi kwetu sisi chama, ipo haja ya kusimamia na kuona jambo hili linakuwa ni jambo la kuigwa wananchi wafahamu mafanikio yanayofanywa na chama “.

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Madaba

Mei 6,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa